Jumatatu, Julai 08, 2024

Ujoto wa makala

Sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Simiyu

Sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Simiyu inashughulika na shughuli mbalimbali zinazohusu Viwanda, Biashara, Masoko na Uwekezaji kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Biashara, Sera ya Taifa ya Uwekezaji, Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2011/12-2015/16, Mkakati wa Kupunguza na Kuondoa Umasikini Awamu ya Pili (MKUKUTA II) na Sera ya Maendeleo Endelevu ya Viwanda 1996-2020.

Shughuli zinazofanywa ni kusimamia Mamlaka za Serikali za Mitaa kuweza kufanikisha Sera, Sheria na Mipango mbalimbali ya kitaifa, kusimamia utekelezaji wa Sheria za Biashara na Viwanda, Kutoa ushauri wa kibiashara kwa wadau mbalimbali, Kuratibu shughuli za usajili wa Leseni za Biashara, Kusimamia mwenendo wa Masoko, Kuhamasisha shughuli za Wajasiriamali, Biashara Ndogo, Kati na Viwanda Vidogo (SME’s), Kuhamasisha na kuvutia Uwekezaji katika maeneo ya Kilimo, Madini, Utalii na Viwanda hususani viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya kilimo na mifugo.

Endelea kusoma kwenye Blog rasmi ya Mkoa wa Simiyu: http://simiyuregion.blogspot.com/p/blog-page_28.html

BUDECO katika Elimu

BUDECO yachangia ujenzi wa madarasa Sh mil 34.7
icon siku ya makabidhiano ya mchango1

Chaki kutoka Maswa, Simiyu

WhatsApp group

Chat na wanaBUDECO papo kwa papo.
BUDECO chat
Tuma taarifa hizi zikiwa pamoja na namba yako ya simu na anuani ya email:
1.Majina yako matatu, 2.Kijiji unachotoka (kata na tarafa), 3. Kwa sasa unaishi wapi, 4. Shuguli unazofanya au unazopanga kufanya na makampuni/mashirika uliyofanyia/unayofanyia kazi (ukipenda lakini)

Tuma kwenye namba hii 0713-982855 na baadaye ukumbini kwa kujitambulisha.

°F | °C
Error! Unable to Find Specified Location!