Ijumaa, Julai 05, 2024

  1. Kushiriki katika shughuli za maendeleo ya kijamii (elimu, afya, michezo, maji miundombinu, Kilimo, mifugo, uvuvi, ufugaji nyuki na samaki, fedha, viwanda na biashara) katika wilaya ya Busega.
  2. Kushiriki katika uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti, usafi wa mazingira na kutoa elimu ihusuyo uhifadhi na utunzaji wa mazingira.
  3. Kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI kwa kutoa elimu ya kujikinga, ushauri nasaha na kusaidia waathirika km vile wajane, wagane na watoto yatima
  4. Kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za mauaji ya kikatili dhidi ya vikongwe na walemavu wa ngozi.
  5. Kutoa elimu ya ujasiliamali ili kujenga ustawi wa wanawake na vijana.
  6. Kutoa elimu kwa jamii ihusuyo maadili, utamaduni na utu wa Mtanzania.
  7. Kushirikiana wakati wa shida na raha (msiba, ugonjwa, sherehe n.k)
  8. Kusaidia na kuhamasisha Elimu ya uraia na utawala bora.
  9. Kuhamasisha jamii kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya, ukeketaji na unyanyasaji wa kinjisia.
  10. Kushirikiana na jamii ya Watanzania katika shughuli za maendeleo ya jamii katika sehemu zote palipo na matawi ya BUDECO.
  11. Kushiriki katika shughuli zingine zote zihusuzo maendeleo na ustawi wa jamii.

BUDECO more pics from inauguration day11

BUDECO katika Elimu

BUDECO yachangia ujenzi wa madarasa Sh mil 34.7
icon siku ya makabidhiano ya mchango1

Chaki kutoka Maswa, Simiyu

WhatsApp group

Chat na wanaBUDECO papo kwa papo.
BUDECO chat
Tuma taarifa hizi zikiwa pamoja na namba yako ya simu na anuani ya email:
1.Majina yako matatu, 2.Kijiji unachotoka (kata na tarafa), 3. Kwa sasa unaishi wapi, 4. Shuguli unazofanya au unazopanga kufanya na makampuni/mashirika uliyofanyia/unayofanyia kazi (ukipenda lakini)

Tuma kwenye namba hii 0713-982855 na baadaye ukumbini kwa kujitambulisha.

°F | °C
Error! Unable to Find Specified Location!