Jumatatu, Julai 08, 2024

Ujoto wa makala

investment opportunities in the lake zone

 

fursa za uwekezaji mkoani simiyu tanzania mh mtaka

 

 


The Lake Zone Investment Forum

The Lake Zone Investment Forum is an initiative of the six regional commissioners offices in the Lake Zone namely: Geita, Kagera, Mara, Mwanza, Shinyanga and Simiyu.  The forum is guided by the Lake Zone Investment Forum Organizing Committee currently chaired by the Mwanza Regional Commissioner. In terms of operations, there is a joint secretariat constituted by the technical human capital drawn from the respective regions and chaired by the host Regional Administrative Secretary.

The overall objective of the Lake Zone Investment Forum is to promote the investment opportunities available in the Lake Zone with a goal of attracting foreign and local investors to tap these investment opportunities and eventually accelerate sustainable economic growth in the zone.
 
Lakezone Regions:
Geita, Kagera, Mara, Mwanza, Simiyu and Shinyanga

Address:
LAKE ZONE INVESTMENT FORUM
Regional Commissioner Officer
Regional Drive Road
P.O.Box 119
Mwanza , Tanzania.
Tel: +255 28 2501037
E-mail: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. or This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Web: http://www.lakezoneinvestmentforum.go.tz/


Sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Simiyu

Sekta ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Simiyu inashughulika na shughuli mbalimbali zinazohusu Viwanda, Biashara, Masoko na Uwekezaji kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Biashara, Sera ya Taifa ya Uwekezaji, Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2011/12-2015/16, Mkakati wa Kupunguza na Kuondoa Umasikini Awamu ya Pili (MKUKUTA II) na Sera ya Maendeleo Endelevu ya Viwanda 1996-2020.

Shughuli zinazofanywa ni kusimamia Mamlaka za Serikali za Mitaa kuweza kufanikisha Sera, Sheria na Mipango mbalimbali ya kitaifa, kusimamia utekelezaji wa Sheria za Biashara na Viwanda, Kutoa ushauri wa kibiashara kwa wadau mbalimbali, Kuratibu shughuli za usajili wa Leseni za Biashara, Kusimamia mwenendo wa Masoko, Kuhamasisha shughuli za Wajasiriamali, Biashara Ndogo, Kati na Viwanda Vidogo (SME’s), Kuhamasisha na kuvutia Uwekezaji katika maeneo ya Kilimo, Madini, Utalii na Viwanda hususani viwanda vya kuongeza thamani ya mazao ya kilimo na mifugo.

Endelea kusoma kwenye Blog rasmi ya Mkoa wa Simiyu: http://simiyuregion.blogspot.com/p/blog-page_28.html

BUDECO katika Elimu

BUDECO yachangia ujenzi wa madarasa Sh mil 34.7
icon siku ya makabidhiano ya mchango1

Chaki kutoka Maswa, Simiyu

WhatsApp group

Chat na wanaBUDECO papo kwa papo.
BUDECO chat
Tuma taarifa hizi zikiwa pamoja na namba yako ya simu na anuani ya email:
1.Majina yako matatu, 2.Kijiji unachotoka (kata na tarafa), 3. Kwa sasa unaishi wapi, 4. Shuguli unazofanya au unazopanga kufanya na makampuni/mashirika uliyofanyia/unayofanyia kazi (ukipenda lakini)

Tuma kwenye namba hii 0713-982855 na baadaye ukumbini kwa kujitambulisha.

°F | °C
Error! Unable to Find Specified Location!