Lengo Kuu ni kuimarisha mshikamano na umoja miongoni mwa Wanachama wake, na Wanachama wengine wa vyama vya kijamii nchini. Aidha BUDECO itaimarisha uhusiano mzuri baina ya Jamii ya Wanabusega waishio Busega na nje ya Busega, pamoja na wafadhili mbalimbali wa Asasi hii.
Error! Unable to Find Specified Location!