Wilaya ya Busega ni mojawap kati ya wilaya tano (5) za mkoa wa Simiyu nchini Tanzania, Afrika Masahriki. Makao makuu ya wilaya yako kwenye mji mdogo Nyashimo. Wilaya hii imepakana kaskazini na ziwa Victoria na wilaya ya Bunda, kwa upande wa mashariki imepakana na wilaya ya Bariadi, na kwa kusini imepakanna na wilaya mama ya Magu.
Simiyu region location map (Source: Wikipedia)
Location map of Busega district within Simiyu region (Source: Wikipedia)