Albamu: BUDECO yaikabidhi wilaya ya Busega Sh 34,700,000/= kwa ajili ya ujenzi wa madarasa Hati ya shukurani ya mchango wa elimu kwa jumuiya ya BUDECO Mkuu wa wilaya akimkabidhi mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu hati ya shukurani Mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu akitoa maelezo ya jumuiya Mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu akipongezwa na Mh Diwani Luyenze Wanafunzi wilayani Busega wakisoma kwa bidii Makabidhiano ya mchango wa BUDECO kwa mkuu wa wilaya Ujenzi wa madarasa ukiendelea wilayani Busega Wanachama wa BUDECO na viongozi wa halmashauri