Wednesday, July 03, 2024

Wageni karibuni!

Napenda tukumbushane moja ya masharti muhimu katika group hili.

  1. Group hili ni maalumu kwa members wa Jumuiya ya Maendeleo ya wanabusega (BUDECO). Hivyo michango ya mawazo inayoruhusiwa humu ni ile yenye mlengo wa kuendeleza umoja wetu na Busega yetu.
  2. Group hili limetengenezwa maalumu kuwa kisima cha mawazo ya maendeleo ya BUDECO na Busega kwa ujumla.
  3. Group hili limesheheni watu wa aina tofauti, vijana na wazee, viongozi na wasio viongozi. Hivyo Ndani ya group hili hairuhusiwi kabisa michango ya mawazo yenye affiliation za kisiasa.

Kwa wageni mliounganishwa na wenyeji mliomo tuzingatie vigezo na masharti yaliyoainishwa hapo juu.

Ahsanteni.

Imetolewa na Ginhu JM
Mwenyekiti - BUDECO.

BUDECO katika Elimu

BUDECO yachangia ujenzi wa madarasa Sh mil 34.7
icon siku ya makabidhiano ya mchango1

Chaki kutoka Maswa, Simiyu

WhatsApp group

Chat na wanaBUDECO papo kwa papo.
BUDECO chat
Tuma taarifa hizi zikiwa pamoja na namba yako ya simu na anuani ya email:
1.Majina yako matatu, 2.Kijiji unachotoka (kata na tarafa), 3. Kwa sasa unaishi wapi, 4. Shuguli unazofanya au unazopanga kufanya na makampuni/mashirika uliyofanyia/unayofanyia kazi (ukipenda lakini)

Tuma kwenye namba hii 0713-982855 na baadaye ukumbini kwa kujitambulisha.