Pictures: BUDECO organisation donates Sh 34,700,000/= for construction of classrooms in Busega district Ujenzi wa madarasa ukiendelea wilayani Busega Mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu akitoa maelezo ya jumuiya Wanafunzi wilayani Busega wakisoma kwa bidii Hati ya shukurani ya mchango wa elimu kwa jumuiya ya BUDECO Wanachama wa BUDECO na viongozi wa halmashauri Mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu akipongezwa na Mh Diwani Luyenze Mkuu wa wilaya akimkabidhi mwenyekiti wa BUDECO Bw. Ginhu hati ya shukurani Makabidhiano ya mchango wa BUDECO kwa mkuu wa wilaya